Header Ads

Mbunge Mwingine wa CHADEMA Kuhusu Kuhamia CCM Leo

Mbunge wa Moshi Vijijini Kupitia CHADEMA Anthony Komu amesema hana mpango wa kukihama chama hicho na kujiunga na chama tawala (CCM)

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar Es Salaam Mbunge huyo amesema amekuwa akihusianishwa na kukihama chama hicho lakini yeye hajawahi kufikiria hivyo wala kuzungumza na CCM kuhusu kuhama chama hicho

Amesema hajawahi kushawishiwa kuhamia CCM na anachoamini hizo ni propaganda zinazoenezwa na CCM

No comments

Powered by Blogger.